Manchester,England.
KIPA wa Benfica ya Ureno,Ederson akiwa amejipumzisha kitini akisubiri kuanza kufanyiwa zoezi la upimaji afya kabla ya kumwaga wino kuichezea Manchester City kwa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 35.Hata hivyo usajili wa Ederson ,23,huenda ukachelewa kutangazwa hii ni baada ya mchezaji huyo kumilikiwa na pande tatu yaani Benfica,wakala wake George Mendez pamoja na klabu yake ya Rio Ave kummiliki kwa asilimia 30.Hivyo usajili huo utakamilika pindi pande hizo tatu zitakapokuwa zimefikia mwafaka
Tottenham put Burnley out of their misery... Vincent Kompany's side only
survived this long due to points deductions and the quality of the teams
around them
-
Perhaps it was fitting that on the day the Burnley Express officially
called time on his international cricket career, time was also called on
Burnley's ti...
0 comments:
Post a Comment