Raheem Sterling ameendelea kuonyesha wazi wazi kuwa amelichoka jiji la Liverpool kwani ripoti zinadai nyota huyo wa zamani wa Liverpool ameamua kuliuza jumba lake la kifahari lililoko jijini humo maeneo ya Southport.
Jumba hilo lenye mandhari nzuri na ya kuvutia linauzwa kwa paundi milioni 1.5 tu........


Chumba cha kuangalizia Cinema

Chumba cha kuangalizia Cinema

Salon

Chumba cha muziki na starehe

Bwawa la kuogelea

Chumba cha zoezi GYM

Sebule

Jikoni

Chumba cha kulala

Bafu ambalo unaoga huku ukitaza TV

Uwanja wa Basketball

Uwanja wa Soka

Sehemu ya kupumzika nje ya nyumba
0 comments:
Post a Comment