Baada ya kupata taarifa na Man United kuachana na mpango wa kumsajili Pedro na kisha Chelsea kuwa mstali wa mbele kuipata saini ya winga huyo teleza wa FC Barcelona basi hivi ndivyo nyota huyo atakavyokuwa akionekana katika jezi za Chelsea.Yote hii itatimia ikiwa FC Barcelona na Chelsea FC zitakubaliana dili hilo.
Why NRL stars will be offered EXTRA money to play in Papua New Guinea - as
Pacific Nation firms as next franchise
-
ARL Commission boss Peter V'landys has confirmed current footy stars will
likely be offered extra money to play in Papua New Guinea - as the Pacific
Nation...
0 comments:
Post a Comment