WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC bado hawajamaliza usajili licha ya Agosti 21 kumtambulisha nyota mpya.
Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa bado utambulisho wa wachezaji wapya unaendelea kwa ajili ya msimu ujao.
“Simba bado kuna wachezaji hatujawatambulisha na hao waliobaki tukitambulisha mmoja tu kila mwenye simu ya ‘Smartphone’, basi ‘Protector’ itapasuka bila kuidondosha ni wachezaji kweli.
0 comments:
Post a Comment