728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, August 23, 2025

    Chasambi kutimka Simba

    KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids ameweka wazi msimamo wake juu ya kiungo wake mshambuliaji, Ladack Chasambi kuwa hayupo katika mipango yake ya msimu ujao.

    Taarifa zinaeleza kuwa kiungo huyo anapaswa kuondoka kabla ya dirisha alijafungwa kama akipata ofa nzuri kwingine kwa ajili ya changamoto mpya.


    Next
    This is the most recent post.
    Older Post
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Chasambi kutimka Simba Rating: 5 Reviewed By: eryne
    Scroll to Top