-Kiungo Mshambuliaji Santi Carzola ataendelea kuwa nje ya uwanja mpaka mwishoni kwa msimu tofauti na ilivyotarajiwa hapo awali kuwa angeweza kurudi mwezi wa tatu hivyooo kurudi kucheza mpaka msimu ujao. Carzola amekuwa nje ya uwanja tangu mwezi wa kumi mwaka jana akiendelea kuuguza majeraha ya kifundo cha mguu aliyoyapata katika mchezo dhidi ya Ludogorets katika michuano ya klabu bigwa barani ulaya,ambapo alifanyiwa upasuaji mwez wa kumi na mbili uliomuweka nje mpaka sasa.
An old-school centre half who enjoys country music, the ex-Arsenal star
thriving in Serie A and the wonderkid who loves chess... meet the England
Under 21s going for glory in Slovakia
-
NATHAN SALT IN BRATISLAVA: The Young Lions' path to the final four has not
been easy after they scraped through the group stage having picked up just
four ...
0 comments:
Post a Comment