-Kiungo Mshambuliaji Santi Carzola ataendelea kuwa nje ya uwanja mpaka mwishoni kwa msimu tofauti na ilivyotarajiwa hapo awali kuwa angeweza kurudi mwezi wa tatu hivyooo kurudi kucheza mpaka msimu ujao. Carzola amekuwa nje ya uwanja tangu mwezi wa kumi mwaka jana akiendelea kuuguza majeraha ya kifundo cha mguu aliyoyapata katika mchezo dhidi ya Ludogorets katika michuano ya klabu bigwa barani ulaya,ambapo alifanyiwa upasuaji mwez wa kumi na mbili uliomuweka nje mpaka sasa.
Why NRL stars will be offered EXTRA money to play in Papua New Guinea - as
Pacific Nation firms as next franchise
-
ARL Commission boss Peter V'landys has confirmed current footy stars will
likely be offered extra money to play in Papua New Guinea - as the Pacific
Nation...
0 comments:
Post a Comment