Delle Alli akishangilia goli la kwanza dhidi ya Ufaransa

Antony Martial akipambana na walinzi wa England

Wayne Rooney akiifungia England goli la pili na kufanya matokeo kuwa 2-0
John Stones akiwania mpira na Gignac

Wchezaji wa Ufaransa wakilia wakati wa kumbukumbu ya tukio la kigaidi la wiki iliyopita
0 comments:
Post a Comment