Klabu ya Soka ya Simba nchini Tanzania iko katika mazungumzo yanayoendelea
vema ili iweze kupata mgao wake baada ya aliyekuwa mchezaji wake Mbwana
Ally Samatta kuuzwa huko Ubeligiji.
Simba ambayo ilimuuza Samatta klabu ya TP Mazembe mwaka 2012, inapaswa
kupata asilimia 20 ya fedha ambazo TP Mazembe imelipwa baada ya kumuuza
Samatta kwenye klabu hiyo ya Ubelgiji.
TP Mazembe ilimuuza Mtanzania huyo kwa Samatta KRC dola za Kimarekani
800,000
An old-school centre half who enjoys country music, the ex-Arsenal star
thriving in Serie A and the wonderkid who loves chess... meet the England
Under 21s going for glory in Slovakia
-
NATHAN SALT IN BRATISLAVA: The Young Lions' path to the final four has not
been easy after they scraped through the group stage having picked up just
four ...
0 comments:
Post a Comment