Klabu ya Soka ya Simba nchini Tanzania iko katika mazungumzo yanayoendelea
vema ili iweze kupata mgao wake baada ya aliyekuwa mchezaji wake Mbwana
Ally Samatta kuuzwa huko Ubeligiji.
Simba ambayo ilimuuza Samatta klabu ya TP Mazembe mwaka 2012, inapaswa
kupata asilimia 20 ya fedha ambazo TP Mazembe imelipwa baada ya kumuuza
Samatta kwenye klabu hiyo ya Ubelgiji.
TP Mazembe ilimuuza Mtanzania huyo kwa Samatta KRC dola za Kimarekani
800,000
Jurgen Klopp's final Liverpool press conference LIVE: Latest news and
updates as the Reds boss speaks to the media ahead of his final match in
charge of the Anfield side
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest news and updates from Jurgen
Klopp's final press conference as Liverpool manager.
0 comments:
Post a Comment